Saturday, November 14, 2015

Floyd Maywether achafua hali ya hewa huko Miani.





Hii ni sherehe ya kawaida kwake ambapo ilifanyika nyumbani kwake yeye mwenyewe Floyd Mayweather huku akizungukwa na wacheza dansi wa kike, naye akirusha note hewani za pesa, Milionea huyo alionekana kufurahia maisha yake ya kustaafu Ndondi.
Floyd Maywether akiwa Team noney.


Bondia huyo asiye pigika alirusha hewani noti za dola za malekani huku furaha yake ikipambwa na marafiki zake ambao waliuzulia sherehe hiyo huku yeye akisema.
“ni sherehe ya kawaida kwangu saa 11:16 alfajiri maisha yangu ni matamu aliandika katika ukrasa wake wa Instagramjana.

Mtu wangu wa Face2face kama unakumbuka bondia huyo alistaafu Masumbwi baada ya pambano lake lililopita lakni bado anashawishiwa kurejea stejini kumkabiri Andrea B erto, ambaye amepania kuharibu rekodi yake ya Mataji 49-0 mjini Las Vegas hii si mara ya kwanza kwa Mayweather, kuchafua jamii kwa mtindo huo kwani Mwaka jana mwana masumbwi huyo mtata aliwaita madensa hao nyumbani kwake na kuporomosha bonge la Party kwa mtindo huo huo.


Lakini pia mkari huyo wa ndondi amekuwa akijirusha kwa sherehe mbalimbali zisizo za kikomona Team yake ya Pesa (money Team), tangu atangaze kustaafu huku akifika hatua ya kubeba fuko la fedha na kwenda nalo hadi klabu ya usiku ya Miani ya Marekani mwezi uliopita.

No comments:

Post a Comment