Saturday, August 10, 2024

Maneno ya Gamondi

 “Huu ni mchezo wa fainali, unapaswa kuwa makini sana, nakumbuka vyema mchezo uliopita pale Zanzibar, tayari tunayo picha sahihi tunapaswa kwenda na mbinu gani dhidi ya Azam Fc, niwahakikishie Yanga Sc ni timu imara sana, ukitazama mchezo uliopita Simba walitengeneza nafasi moja tu kwa sababu tulikuwa imara kwenye kila idara.” Kocha Mkuu Miguel Gamondi kuelekea mchezo wa fainali #ngaoyajamiii dhidi ya Azam Fc.


#Yanga_Ya_Master_Gamondi

No comments:

Post a Comment