Hii ni blog ambayo inakupa Taarifa na habari Zote Za Kitaifa na za kimataifa Katika Nyanja Zote za kisiasa, Uchumi, michezo na burudani..

Saturday, October 10, 2015

Miaka 25 ya Chris Jericho ndani ya WWE




Chris Jericho asherehekea miaka 25 katika michezo ya burudani na ‘ wakanada wenzake’

Chris jeriko ameweza kusherehekea leo tarehe 8 october miaka 25 katika mchezo wa burudani za mieleka (wwe)tangia ajiunge katika michezo hiyo, akiwa katika kusherehekea sherehe hizo Jericho a.k.a Y2J alisindikizwa na pambano la Intecontinetal Champions kati ya Brock Lesnar na The Big Show.
 


Katika sherehe hizo Jeriko alisema “hii inamaanisha kuwa nina marafiki wengi sana hapa ndani ya michezo hii. Lakini ni kitu gani bora zaidi ambacho ninaweza kufurahia usiku huu kuliko miaka yote iliyo pita ?” Jericho aliiambia Wwe .com. vilevile aliendelea kuiambia Wwe.com kuwa “ marafiki zangu ka Don Callis a.ka. wwe the Jacky hakuweza huwa  tangia mwaka 1996 au 1997 na had sasa ni miaka 10 imepita lakini pia rafiki yangu Len Olsen a.k.a “Luscious” hakuweza kuwepo hapa kwahiyo nawaitaji wao safu ya mbele kwasababu hii inamaanisha kitu kwangu”.
Marafiki zake kutoka Canada:

Wwe superstar chris jericho(wa pili kutoka kulia) akiwa na marafiki zake kutoka canada ambao walimsindikza katika sherehe za miaka 25 ya Jericho ndani ya michezo ya burudani za mieleka.

“Ukweli ni kwamba Chris anautajiri wa kutosha leo na hadi kusherehekea sikukuu za miaka 25”alisema Stom ambaye Chris Jericho alimchagua kuwa wa kwanza kuzungumza. “na tunapenda kusema kuwa tunafuraha ya kuweza kushinda mikanda ya NWA na WWE world champions, na Jericho ni mmoja kati ya aliye wapiga The Rock na Steve Austin katika usiku hio “ alisema Stom.

“Sitoweza kupata tena usiku kama huu”
alisema Jericho alipo kuwa akiwashukuli wote walio hudhulia katika sherehe hizo.

No comments:

Post a Comment