Hii ni blog ambayo inakupa Taarifa na habari Zote Za Kitaifa na za kimataifa Katika Nyanja Zote za kisiasa, Uchumi, michezo na burudani..

Monday, October 19, 2015

MABIGWA 5 KATIKA BURUDANI ZA MIELEKA DUNIANI, MWEZI WA 10/205

Kutokana na mechi mbalimbali katika World Wrestling Entertainments (WWE),zinazoendelea huko Marekani ndani ya mwaka huu 2015 katika mashinadano matano ambayo ni.


1. Wwe World Heavyweight Champion, Na bingwa wa Mkanda huu ni Seth Rollins ambapo kama unakumbuka Rollins aliweza kushinda mkanda hu wa Heavyweight pale ambapo Superstar Brock Lesnar na Roman Reings walipokuwa wakipigana na Seth kuingilia mwisho wa machi hiyo lakini kutokana na sheria za mchezo huo Seth aliweza kushinda. 
 
 2.  Intercontinetal Champion, na bingwa wa mkanda huu adi sasa ni Kevin Owens.



3. United State Champion, ambaye bingwa wa mkanda huu ni WWE Superstar John Cena.





4. Tag Team Champion, ambaye bigwa wa mkanda huu ni mpiganaji machachali Koff Kingston, 



5. Divas Champion, na bingwa wa mkanda huu ni mdada ambaye naye ni machachali sana anaitwa Charlotte,  shindano hili ni la wadada.


 Hawa ndiyo mabingwa ambao wanaendelea kushikilia mikanda hiyo yote ya World Wrestling Entertainments.

No comments:

Post a Comment