Hii ni blog ambayo inakupa Taarifa na habari Zote Za Kitaifa na za kimataifa Katika Nyanja Zote za kisiasa, Uchumi, michezo na burudani..

Saturday, November 14, 2015

Wayne Rooney amchapa Kofi bondia wa Mieleka.





Mshambuliaji wa Manchester United, Wayne Rooney amekutana “FACE2FACE” Yaani Uso kwa Uso kwa kumchapa kibao nyota wa Mieleka Wade Barrett, mwenye urefu wa futi sita na nchi saba Mita 2.0066 mbele ya mashabiki katika uwanja wa WWE.

Rooney alifikia uamuzi huo baada ya kukashfiwa na mwanamichezo huyo mbele ya mwanae Kai Rooney, mcheza mieleka huyo Wade Barrett, mwenye urefu wa futi sita na nchi saba (mita 2.0066) alidaiwa kumkosea adabu nyota huyo wa soka England.
Mwanamieleka, wade Barrett (kushoto) akikunja uso baada ya kuchapwa kibao na Mwanasoka Wayne Rooney, (kulia).

 Rooney alieleza kukerwa na kitendo cha Barrett kumkashfu hadharani akitumia kipaza sauti, huku mwana mieleka huyo mzaliwa wa Lancas Hire alitwaa kipaza sauti na kusema.
Mwanasoka wa timu ya Manchester united Wayne Rooney (kushoto) na Mwanamieleka Wade Barrett.

“Mbele yenu kuna watu wawili mnao weza kuwaita mashujaa ni nani zaidi kati ya Wayne Rooney na Manchester united, huku Bennett akimtuhumu Rooney kwa kujiangusha uwanjani wakati wa mechi ya kombe la FA dhidi ya preston North End.

ukitaka video links hapa uone jinsi kilicho tokea baada ya Barrett kuchapwa kibao.
 http://www.wwe.com/videos/king-barrett-hunts-for-wayne-rooney-at-old-trafford- november-10-2015-28193399

Rooney aliudhulia onyesho hilo akiongozana na rafiki yake Ryan Giggs ambaye kwa sasa ni kocha msaidizi wa Man united na mchezaji mwenzake aliyeko West Bromwvich, Darren Fletcher, huku kwa pamoja watatu hao walionekana kucheka na kufurahi wakiwa na mabingwa wa zamani wa mieleka wa WWE, kama John Bradfield na Layfield.


Muda mfupi baadae hali ya hewa ilibadilika baada ya Rooney kukaa na motto wake kai mwenye miaka sita baada ya Barrett kumdhihaki huku akiendelea kumdhihaki Ndipo mshambuliaji huyo akimzungumzia motto wake huku akidai hakufurahishwa akiopna akiwa amekaa kiti cha mbele, ndipo Rooney alipo nyanyuka na kumwendea Mwanamieleka huyo na kukabiliana nae ambapo alimpiga kofi usoni.

Lkini picha za marudio za video zili muonyesha Barrett ambae aliwahipia kuwa Bondia akimuendea Rooney na kuanza kumshambulia kitendo kilcho jibiwa na mwanasoka huyo udhalilishaji wa wazi.

No comments:

Post a Comment